Tunapendeza Lyrics in swahili:- Check out the full lyrics of the song titled “Tunapendeza” sung by Ibraah, HARMONIZE on this page.
Lyrics are available in:
- Tunapendeza Lyrics in swahili
- (We are lovely) Tunapendeza Lyrics in English
Here are all the details of Tunapendeza song that you need to know about.
PARTICULARS | DETAILS |
Song Title | We are lovely | Tunapendeza |
Singer | Ibraah Harmonize |
Lyrics | Ibraah, HARMONIZE |
Music | Ibraah, HARMONIZE |
Music Label | Konde Music Worldwide |
Stars | Ibraah, HARMONIZE |
Album/Movie | Tunapendeza |
Hindi & English ‘Tunapendeza Lyrics‘ from the album – Tunapendeza that has been sung by Ibraah, HARMONIZE are down below. The song lyrics have been written by Ibraah, HARMONIZE and the music is the composition of Ibraah, HARMONIZE.
Tunapendeza Lyrics
Kama mapenzi yangekua nyumba
We mchanga mi tofari
Waseme umenifanyia ndumba
Mie ata sijali
Nisipokupenda wewe nitampenda nani niambie
Yani kama nisipokupenda wewe ntampenda nani niambie
Ningeishi kamanda na nyota
Ila kwenye mapenzi nasota
Usiku nikilala nakuota nakuota wewe hapo
Mjeshi kamanda nanyota ila kwenye mapenzi nasota
Usiku nikilala nakuota nakuota wewe
Moyo wangu pancha mi moyo wangu pancha
Bila we mi siwezi tembea siwezi tembea
Husije ukaniacha baby ukaniacha
Wanafki watanizomea watanizomea
Mi na wewe tuu uuuh
Tunapendeza tunapendeza
Mi na wewe tuu uuuh
Tunapendeza tunapendeza
My baby boo uuuuh
Tunapendeza tunapendeza
Am me and you uuuuh
Tunapendeza tunapendeza
Ukiwa mbali nakumiss upweke si jambo rahisi
Jichunge ma kuna ibilisi mmmh
Tunavyogombana kesho tukapatana
Kipimo tosha tunapimana
Kiasi gani tunapendana eeh
Tunavyogombana kesho tukapatana
Kipimo tosha tunapimana
Kiasi gani tunapendana eeh
You’re you
You’re the one am going to marry you
Uwe wa halali uwe wangu tu
Umenipa pancha panch mi moyo wangu pancha
Bila we siwezi tembea siwezi tembea
Husije ukaniacha baby ukaniacha
Wanafki watanizomea watanizomea
Mi na wewe tuu uuuh
Tunapendeza tunapendeza
Mi na wewe tuu uuuh
Tunapendeza tunapendeza
My baby boo uuuuh
Tunapendeza tunapendeza
Am me and you uuuuh
Tunapendeza tunapendeza
Tunapende tunapendeza
Aah chinga
1 thought on “Tunapendeza Lyrics | Ibraah, HARMONIZE”