Puuh Lyrics in swahili | Billnass, Jay Melody

Here are the full Puuh Lyrics in swahili. Correct lyrics of the Billnass, Jay Melody’s Puuh song are now available to read. So, sing your lungs out with Puuh song lyrics & have fun.

Listen to your favourite singer’s music/songs while reading it @LyricsNum with the minimalist & clean view of all the Lyrics to better enjoy latest music & songs in different languages.

So, wait no more & view the Latest & Correct Lyrics – available in different languages. Sing along & dance to the tunes of your fav singers while playing the linked Youtube (Puuh) Video song too!

This song’s lyrics are available in:

Here are all the details of Puuh song that you need to know about.

PARTICULARS DETAILS
Song Title | Puuh
Singer Billnass Jay Melody
Lyrics Puuh
Music Billnass, Jay Melody
Music Label Billnass
Stars Billnass, Jay Melody
Album/Movie Puuh

 

Hindi & English ‘Puuh Lyrics‘ from the album – Puuh that has been sung by Billnass, Jay Melody are down below. The song lyrics have been written by Billnass & Jay Melody and the music is the composition of Billnass, Jay Melody.

Puuh Billnass, Jay Melody Lyrics

 

Jay once again (S2kizzy baby)
Mm-hmm (Nenga)

Ah, hili penzi la ukweli, baby nipe tu
Na ukinikuta nimelala unakuja juu
Tena kwa jinsi liko hot linawaka, wuuh
Na ukinikumbatia moyo unadunda puuh

Ah, unadunda puuh, puuh, puuh, puuh-uh
Oh, unadunda puuh, puuh, puuh, puuh-uh
Moyo unadunda puuh, puuh, puuh, puuh-uh
Ah, unadunda puuh, puuh, puuh, puuh-uh
Oh, la-la

Hi! Wacha niseme kitu boo
Siwezi kukutoa machozi maana mi’ sio kitunguu
Kila siku kwetu sikukuu
Valentine sio issue kwetu si’ ni siku tu!?

Najua unapenda zawadi ma-gift
Na ndo’ maana work hard niku-fix
Iwe shida ya mavazi, chakula na maradhi
Sometimes niko radhi niji-risk

‘Nachofurahi hata nikikosa unaniombea kwa Mungu
Wapo wal’owahi nitosa kisa sina fungu
Nakumbuka longtime ilivyokua hard time (hard time)
Kabla hujanitoa kwa ukungu

U’shaambiwa maneno shazi
U’shaambiwa mi’ sina hadhi
Ukaambiwa mimi jambazi
Tapeli wa mapenzi na bado ukanihitaji

U’shaambiwa maneno shazi
U’shaambiwa mi’ sina hadhi
Ukaambiwa mimi jambazi
Tapeli wa mapenzi na bado ukanihitaji

Ah, hili penzi la ukweli, baby nipe tu
Na ukinikuta nimelala unakuja juu
Tena kwa jinsi liko hot linawaka, wuuh
Na ukinikumbatia moyo unadunda puuh

Ah, unadunda puuh, puuh, puuh, puuh-uh
Oh, unadunda puuh, puuh, puuh, puuh-uh
Moyo unadunda puuh, puuh, puuh, puuh-uh
Ah, unadunda puuh, puuh, puuh, puuh-uh
Oh, la-la

Cheki ulivyopinda, ukivaa unapendeza
Timu i’shakuamini chagua namba utayocheza
Macho ya kichokozi yani kama unakonyeza
Spending money for your love kwako nawekeza

Zuzu, zuzu, ushanizuzua
Nishakuvisha vyeo na hakuna hatakae kuvua
Na kitu usichojua hata wakisema unajiuza
Waambie mi’ nd’o ninaekununua

U’shaambiwa maneno shazi
U’shaambiwa mi’ sina hadhi
Ukaambiwa mimi jambazi
Tapeli wa mapenzi na bado ukanihitaji

U’shaambiwa maneno shazi
U’shaambiwa mi’ sina hadhi
Ukaambiwa mimi jambazi
Tapeli wa mapenzi na bado ukanihitaji

Ah, hili penzi la ukweli, baby nipe tu
Na ukinikuta nimelala unakuja juu
Tena kwa jinsi liko hot linawaka, wuuh
Na ukinikumbatia moyo unadunda puuh

Ah, unadunda puuh, puuh, puuh, puuh-uh
Oh, unadunda puuh, puuh, puuh, puuh-uh
Moyo unadunda puuh, puuh, puuh, puuh-uh
Ah, unadunda puuh, puuh, puuh, puuh-uh
Oh, la-la

Mm-hmm, mm-hmm
Mm-hmm, mm-mm-mm
Mm-hmm, mm-hmm
Mm-hmm, mm-mm-mm (Kamix lizer)

Puuh Billnass, Jay Melody Song Video

You can also find all of your favourite song lyrics in english/ hindi/ japanese/ punjabi/ marathi/ dutch/ spanish languages and many more at Lyrics Numthe hub of lyrics in numerous languages.

1 thought on “Puuh Lyrics in swahili | Billnass, Jay Melody”

Leave a Comment